Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Mwalimu Kambarage Nyerere
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Julius Nyerere mjini Dar es Salaam ni kiwanja cha ndege kikubwa na muhimu zaidi nchini Tanzania. Kipo kilomita 12 kutoka kitovu cha jiji upande wa kusini magharibi.
Abiria 1,011,392 walipita humo mwaka 2004. Kuna barabara kubwa ya ndege yenye urefu wa mita 3,000 na nyingine ya mita 1,000.
[hariri] Makampuni ya ndege yanayohudumia kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Dar es Salaam
- Air India (Nairobi, Mumbai)
- Air Malawi (Blantyre, Lilongwe)
- Air Tanzania (Comoros, Entebbe, Johannesburg, Kilimanjaro, Zanzibar)
- Air Zimbabwe (Harare, Nairobi)
- British Airways (London-Heathrow)
- Emirates (Dubai, Nairobi)
- Ethiopian Airlines (Addis Ababa)
- Kenya Airways (Nairobi)
- KLM (Amsterdam)
- Precision Air (Arusha, Bukoba, Kigoma, Kilimanjaro, Mombasa, Musoma, Mwanza, Nairobi, Shinyanga, Tabora, Zanzibar)
- Qatar Airways (Doha)
- South African Airways (Johannesburg)
- Swiss International Air Lines (Nairobi, Zürich)
- Regional Air Services, (Arusha)
[hariri] Viungo vya nje
- (Kiingereza) Tanzania Airports Authority