I

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Alfabeti ya Kilatini
Aa Bb Cc ch Dd
Ee Ff Gg Hh Ii Jj
Kk Ll Mm Nn Oo Pp
Qq Rr Ss Tt Uu Vv
Ww Xx Yy Zz

I ni herufi ya 9 katika alfabeti ya Kilatini ambayo ni pia mwandiko wa Kiswahili cha kisasa. Asili yake ni Iota ya alfabeti ya Kigiriki.

[hariri] Maana za I

[hariri] Historia ya I

Kifinisia
Y (yad)
Kigiriki
Iota
Kietruski
I
Kilatini
I
PhoenicianI-01.png EtruscanI-01.png Iota uc lc.svg Lateinisches I

Asili ya alama ni picha andishi iliyoonyesha mkono. Wafinisia walikuwa rahisihsa alama hiyo na kuiita kwa neno lao la mkono "yad" (au: yod). Wakaitumia kama alama ya sauti "y" na pia ya "i" ndefu. Wagiriki wakaipokea kama "Iota" na kurahisisha umbo lake zaidi hadi kuwa mstari tu. Wakaitumia kwa sauti ya "i".

Alama ikaendelea hivyo katika alfabeti za Waetruski na za Kilatini.

WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "I" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu I kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.