N
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Alfabeti ya Kilatini (kwa matumizi ya Kiswahili) |
||||||
|---|---|---|---|---|---|---|
| Aa | Bb | Cc | ch | Dd | ||
| Ee | Ff | Gg | Hh | Ii | Jj | |
| Kk | Ll | Mm | Nn | Oo | Pp | |
| Rr | Ss | Tt | Uu | Vv | ||
| Ww | Xx | Yy | Zz | |||
N ni herufi ya 14 katika alfabeti ya Kilatini ambayo ni pia mwandiko wa Kiswahili cha kisasa. Asili yake ni Nun ya alfabeti ya Kigiriki.
Maana za N [hariri]
- Katika Kemia N ni alama ya elementi ya Nitrojeni
- Kwa magari N ni alama ya gari kutoka Norwei.
- katika fizikia "n" ni alama ya nyutroni
- kwa vipimo "N" ni kifupi cha nyutoni (newton) ambacho ni kizio cha kupima kazi.
Historia ya N [hariri]
| Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu N kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |