X

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Alfabeti ya Kilatini
Aa Bb Cc ch Dd
Ee Ff Gg Hh Ii Jj
Kk Ll Mm Nn Oo Pp
Qq Rr Ss Tt Uu Vv
Ww Xx Yy Zz


X ni herufi ya 24 katika alfabeti ya Kilatini ambayo ni piamalfabeti ya Kiswahili. Sauti yake ni "ks". Haitumiki katika mwandishi wa maneno ya Kiswahili isipokuwa kwa maneno ya kigeni.

Kati ya namba za Kiroma X humaaaisha namba 10.

Vifaa binafsi