P
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Alfabeti ya Kilatini | ||||||
|---|---|---|---|---|---|---|
| Aa | Bb | Cc | ch | Dd | ||
| Ee | Ff | Gg | Hh | Ii | Jj | |
| Kk | Ll | Mm | Nn | Oo | Pp | |
| Rr | Ss | Tt | Uu | Vv | ||
| Ww | Xx | Yy | Zz | |||
P ni herufi ya 16 katika katika alfabeti ya Kilatini ambayo ni pia mwandiko wa Kiswahili cha kisasa. Asili yake ni Pi ya alfabeti ya Kigiriki.
[hariri] Maana za P
- kati ya vipimo sanifu vya kimataifa P ni alama ya Kelvini (kiwango cha halijoto)
- Katika Kemia P ni alama ya elementi ya Posferi
- Katika Fizikia P ni alama ya protoni
- kwenye gari P ni alama ya mimataifa kwa magari kutoka Ureno (=Portugal)
[hariri] Historia ya alama P
| Makala hiyo kuhusu "P" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu P kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |

