Aleksanda Briant

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Aleksanda alivyochorwa.

Aleksanda Briant, S.J. (Somerset, 17 Agosti, 1556Tyburn, 1 Desemba 1581) alikuwa padri Mjesuiti kutoka Uingereza.

Baada ya kuacha ushirika wa Anglikana ili kujiunga na Kanisa Katoliki, alipata upadrisho huko Ufaransa mwaka 1578 akatumwa kwao alipofanya utume miaka 3. Alipokuwa gerezani alijiunga na Wajesuiti na hatimaye alinyongwa na kukatwa vipandevipande[1].

Alitangazwa mwenye heri na Papa Pius IX mwaka 1929 na mtakatifu mwaka 1976 na Papa Paulo VI.

Sikukuu yake huadhimishwa na Wakatoliki tarehe 1 Desemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.