Yohane Rigby

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Yohane Rigby (Eccleston, Lancashire, 1570 hivi – London, 21 Juni 1600) alikuwa Mkristo wa Uingereza ambaye, baada ya kulelewa katika Ushirika wa Anglikana alijiunga na Kanisa Katoliki.

Kwa sababu hiyo miaka miwili baadaye, chini ya malkia Elizabeti I alinyongwa na kuchanwa utumbo akiwa bado hai[1][2][3][4].

Alitangazwa na Papa Pius XI kuwa mwenyeheri tarehe 15 Desemba 1929, halafu na Papa Paulo VI kuwa mtakatifu mfiadini tarehe 25 Oktoba 1970.

Sikukuu yake ni tarehe 21 Juni kufuatana na kalenda rasmi ya Kanisa Katoliki[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Lake, P.; Questier, M. (1996-11-01). "Agency, Appropriation and Rhetoric Under the Gallows: Puritans, Romanists and the State in Early Modern England". Past & Present 153 (1): 64–107. ISSN 0031-2746. doi:10.1093/past/153.1.64. 
  2. Stanton, Richard, A Menology of England and Wales, Burns & Oates, ltd., London, 1892
  3. ""St John Rigby, 21st June", Diocese of Southwark". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-06-21. Iliwekwa mnamo 2020-06-20. 
  4. https://www.santiebeati.it/dettaglio/92075
  5. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.