Yohane Lloyd

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bango linalotambulisha mahali pa kifodini chake na cha Filipo Evans.

Yohane Lloyd (alifia dini karibu na Cardiff, 22 Julai 1679) alikuwa padri mwanajimbo kutoka Wales 1645 - 22 Julai 1679) alikuwa padri Mjesuiti kutoka Wales aliyeuawa na serikali ya mfalme Charles II wa Uingereza iliyokuwa imekataza Ukatoliki nchini. Alinyongwa pamoja na Filipo Evans kwa sababu ya kutoa huduma za kipadri kwao [1].

Papa Pius XI alimtangaza mwenye heri mwaka 1929 halafu Papa Paulo VI akamtangaza mtakatifu tarehe 25 Oktoba 1970.[2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.