Yoana Fransiska wa Chantal


Yoana Fransiska wa Chantal, kwa Kifaransa Jeanne-Françoise Frémiot, Baronne de Chantal, (Dijon, Burgundy, Ufaransa, 28 Januari 1572 – Moulins, 13 Desemba 1641) ni maarufu kwa kuanzisha shirika la kitawa la wanawake baada ya kufiwa mumewe.
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki: Papa Benedikto XIV alimtangaza mwenye heri tarehe 21 Novemba 1751, halafu Papa Klement XIII alimtangaza mtakatifu tarehe 16 Julai 1767.
Sikukuu yake imehamishiwa tarehe 12 Agosti[1].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- St. Jane Frances de Chantal Archived 2005-04-22 at the Library of Congress Web Archives at Saint of the Day
- The Life of Saint Jane Frances de Chantal Archived 8 Agosti 2007 at the Wayback Machine.
- St. Jane Frances de Chantal at Catholic Online
- Saint Jeanne de Chantal Archived 16 Juni 2008 at the Wayback Machine. at Patron Saints Index
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |