Yakobo Berthieu
Jump to navigation
Jump to search
Yakobo Berthieu, S.J. (Polminhac, Cantal, Ufaransa, 27 Novemba 1838 - Ambiatibe, Madagaska, 8 Juni 1896) alikuwa padri na mmisionari Mjesuiti nchini Madagaska.
Wakati wa Uasi wa Menalamba mwaka 1896 alipata kuwa mfiadini wa kwanza wa nchi hiyo kutangazwa mwenye heri halafu mtakatifu.
Papa Paulo VI alimtangaza mwenye heri tarehe 17 Oktoba 1965 na Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu tarehe 21 Oktoba 2012.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Juni[1].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Vyanzo[hariri | hariri chanzo]
- Boudou, A., J. Berthieu, Paris, 1935
- Blot, B., He loved to the end, Fianarantsoa, 1965.
- Sartre, Victor, Blessed Jacques Berthieu, martyr Madagascar, Lille, 1996.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |