Wilaya ya Ikungi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Wilaya ya Ikungi
Wilaya ya Ikungi is located in Tanzania
Wilaya ya Ikungi
Wilaya ya Ikungi

Mahali pa Ikungi katika Tanzania

Majiranukta: 5°8′8″S 34°46′15″E / 5.13556°S 34.77083°E / -5.13556; 34.77083
Nchi Tanzania
Mkoa Singida
Wilaya Wilaya ya Ikungi
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 12,661

Wilaya ya Ikungi ni wilaya mojawapo ya mkoa wa Singida. Katika sensa ya mwaka 2012, wilaya ilikuwa na jumla ya wakazi wapatao 272,959

Uchumi[hariri | hariri chanzo]

Wakazi wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida wanajishughulisha na kilimo, kama vile ulimaji wa alizeti, ulezi na viazi vitamu.

Kutokana na hali ya ukame mkoani Singida wakazi wa Ikungi hutegemea kilimo cha mazao yanayostahimili ukame na wachache hujihusisha na uvuvi, hasa katika bwawa la Muyanji.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Ikungi - Mkoa wa Singida - Tanzania

Dung'unyi | Ighombwe | Iglansoni | Ihanja | Ikungi | Irisya | Iseke | Issuna | Iyumbu | Kikio | Kituntu | Lighwa | Makilawa | Makiungu | Mang'onyi | Mgungira | Minyughe | Misughaa | Mkiwa | Mtunduru | Muhintiri | Mungaa | Mwaru | Ntuntu | Puma | Sambaru | Sepuka | Siuyu | Unyahati

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Singida bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Ikungi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.