Ulezi

Ulezi ni mbegu ya mlezi au mwele, aina ya nafaka ambayo hulimwa katika sehemu zenye hali ya ukame, hasa katika Ulimwengu wa Tatu.
Matumizi ya ulezi[hariri | hariri chanzo]
Unga wake hutumika kutengenezea ugali, uji na kadhalika, hasa kwa wagonjwa.
Pia unatumika kama chachu kutengeneza aina mbalimbali za pombe.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |