Mwele
Mwele (Pennisetum glaucum) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Miwele
| ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Mwele au mlezi ni aina ya nafaka ulio na asili yake katika Afrika. Sikuhizi hupandwa mahali pengi katika kanda kavu za dunia. Mbegu zake zinaitwa mawele au malezi.
Mwele (Pennisetum glaucum) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Miwele
| ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Mwele au mlezi ni aina ya nafaka ulio na asili yake katika Afrika. Sikuhizi hupandwa mahali pengi katika kanda kavu za dunia. Mbegu zake zinaitwa mawele au malezi.