Mwele
Mandhari
| Mwele (Pennisetum glaucum) | ||||||||||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Miwele | ||||||||||||||||
| Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Mwele au mlezi ni aina ya nafaka ulio na asili yake katika Afrika. Siku hizi hupandwa mahali pengi katika kanda kavu za dunia. Mbegu zake zinaitwa mawele au malezi.
Picha
[hariri | hariri chanzo]- Masuke
- Uwele
- Mawele
- Masuke: Vielelezo vya makumbusho