Mwele
(Elekezwa kutoka Pennisetum glaucum)
Jump to navigation
Jump to search
Mwele (Pennisetum glaucum) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Miwele
| ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Mwele au mlezi ni aina ya nafaka ulio na asili yake katika Afrika. Sikuhizi hupandwa mahali pengi katika kanda kavu za dunia. Mbegu zake zinaitwa mawele au malezi.