Visia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Visia (alifariki Fermo, Marche, Italia, 250 hivi) alikuwa bikira aliyekatwa kichwa kutokana na imani yake wakati wa dhuluma ya kaisari Decius dhidi ya Wakristo[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake ni tarehe 12 Aprili[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • G. Nepi, Curiosità storiche su Fermo ed il fermano, 1996, Fermo.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.