Vigori

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro wa ukutani katika kanisa lake huko Neau.

Vigori (kwa Kilatini: Vigor; Artois, Ufaransa, karne ya 5 - 537 hivi) alikuwa askofu wa Bayeux (leo nchini Ufaransa) kuanzia mwaka 513 au 514[1] akiingiza Wapagani wengi katika Kanisa Katoliki kama alivyofanya mlezi wake, Vedasto wa Arras[2] [3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Novemba[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Edit, Fulbourn and the Wilbrahams | powered by Church. Fulbourn and the Wilbrahams - History of Fulbourn churches.
  2. Vita Sancti Vigoris. Jalada kutoka ya awali juu ya 2021-02-25. Iliwekwa mnamo 2021-10-27.
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/93123
  4. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.