Mharagwe-pana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Vicia faba)
Mharagwe-pana
(Vicia faba)
Miharagwe-pana shambani
Miharagwe-pana shambani
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Planta (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Fabales (Mimea kama mharagwe)
Familia: Fabaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mharagwe)
Jenasi: Vicia
L.
Spishi: V. faba
L.

Mharagwe-pana (jina la kisayansi: Vicia faba) ni jina la mmea katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa maharagwe mapana.

Asili ya mmea huu ni Mashariki ya Kati lakini siku hizi hukuzwa mahali pote katika kanda za nusutropiki na wastani.

Vipande vinavyolika ni mbegu (bichi na bivu), matumba machanga na majani.

Picha[hariri | hariri chanzo]