Ufashisti
Jump to navigation
Jump to search

Fascio Littorio, ishara ya ufashisti iliyoupatia jina.
Ufashisti ni siasa ya mrengo wa kulia ambayo ilitawala Italia tangu mwaka 1922 hadi 1943 ikiongozwa na mwanzilishi wake, dikteta Benito Mussolini (1883-1945).
Kutokana nayo, aina za siasa zinazofanana zinaitwa pia ufashisti.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |