Tudful

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kioo cha rangi kikimuonyesha Mt. Tudful katika kanisa kuu la Llandaff, Wales.

Tudful (pia: Tydfil) alikuwa mwanamke Mkristo wa Wales[1] aliyefia dini mwaka 480 hivi.

Mtoto wa mfalme Brychan, alipata malezi bora upande wa elimu na maadili[2] kabla hajauawa na Wapagani.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu bikira mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Agosti.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. David Hugh Farmer. (1978). The Oxford Dictionary of Saints.
  2. "Saint Tydfil, Martyr of Wales", Orthodox Outlet for Dogmatic Enquiries
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.