Theotoni
Mandhari

Theotoni (Ganfei, Ureno, 1082 hivi - Coimbra, 18 Februari 1162) alikuwa padri kanoni na mshauri wa mfalme wa Ureno Afonso I.
Alikwenda mara mbili kufanya hija Yerusalemu alipokataa uongozi wa Kanisa katika Nchi Takatifu.
Aliporudi kwao alianzisha monasteri ya Waaugustino huko Coimbra iliyostawi haraka [1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu; heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Benedikto XIV.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 58-59
Marejeo ya lugha nyingine
[hariri | hariri chanzo]- A. Butler Butler's Lives of the Saints, Burns & Oates, 2000
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |