Nenda kwa yaliyomo

Theodori wa Sykeon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Mt. Theodori.

Theodori wa Sykeon (Sykeon, Galatia, leo nchini Uturuki, karne ya 6 - 22 Aprili 613[1][2][3]) alikuwa tangu utotoni mkaapweke mwenye maisha magumu akawa maarufu kwa miujiza[4].

Alipewa upadirisho akiwa na umri wa miaka 17 tu, akawa bila kupenda askofu wa Anastasiopoli[5] kwa miaka kumi hivi, ambapo alizidi kumuomba Patriarki wa Konstantinopoli amruhusu kurudi upwekeni, akamalizia maisha yake kama abati wa monasteri aliyoianzisha alipokuwa padri tu[6].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 22 Aprili[7].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. Cf. Festugiere, A.-J., Vie de Theodore de Sykeon, t. I, Bruxelles: Societe des Bollandistes, p. V.
  2. Kaegi 2003, pp. 9–10
  3. Kaegi 2003, p. 76
  4. "St Theodore the Sykeote the Bishop of Anastasiopolis", Orthodox Church in America
  5. ""Our Holy Father Theodore the Sykeote", Serbian Orthodox Church". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-04-18. Iliwekwa mnamo 2021-04-18.
  6. http://www.santiebeati.it/dettaglio/50500
  7. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.