Theodori wa Sykeon
Mandhari

Theodori wa Sykeon (Sykeon, Galatia, leo nchini Uturuki, karne ya 6 - 22 Aprili 613[1][2][3]) alikuwa tangu utotoni mkaapweke mwenye maisha magumu akawa maarufu kwa miujiza[4].
Alipewa upadirisho akiwa na umri wa miaka 17 tu, akawa bila kupenda askofu wa Anastasiopoli[5] kwa miaka kumi hivi, ambapo alizidi kumuomba Patriarki wa Konstantinopoli amruhusu kurudi upwekeni, akamalizia maisha yake kama abati wa monasteri aliyoianzisha alipokuwa padri tu[6].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Cf. Festugiere, A.-J., Vie de Theodore de Sykeon, t. I, Bruxelles: Societe des Bollandistes, p. V.
- ↑ Kaegi 2003, pp. 9–10
- ↑ Kaegi 2003, p. 76
- ↑ "St Theodore the Sykeote the Bishop of Anastasiopolis", Orthodox Church in America
- ↑ ""Our Holy Father Theodore the Sykeote", Serbian Orthodox Church". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-04-18. Iliwekwa mnamo 2021-04-18.
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/50500
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Kaegi, Walter Emil (2003), Heraclius: emperor of Byzantium, Cambridge University Press, ISBN 0-521-81459-6
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- English Translation of Theodore of Sykeon on the Internet Medieval Sourcebook
- Three Byzantine Saints Google Book Snippet View
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |