Theodora wa Turo
Mandhari

Theodora wa Turo (pia: Theodosia; Turo, Foinike, leo nchini Lebanoni, 290 hivi - Kaisarea Baharini, leo nchini Israeli, 2 Aprili 307) alikuwa msichana Mkristo ambaye katika dhuluma ya kaisari Masimino Daia[1] alijitokea hadharani kupongeza waliokuwa hukumuni kwa sababu ya imani yao akiwaomba wamkumbuke watakapomfikia Bwana[2]. Hivyo yeye pia aliteswa kikatili na askari akatoswa baharini[3][4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu bikira mfiadini.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Eusebius. "Martyrs of Palestine, long recension, VII". Iliwekwa mnamo 16 Aprili 2013.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Butler, Rev.Alban. "The Lives of the Saints, 1866". Iliwekwa mnamo 16 Aprili 2013.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Eusebi wa Kaisarea, Martyrs of Palestine
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/93283
- ↑ Martyrologium Romanum
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |