Sozonti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Mt. Sozonti.

Sozonti (alifariki Soli/Pompeiopoli, leo Mersin, Kilikia, nchini Uturuki, 300 hivi) alikuwa mvulana mchungaji wa mifugo aliyejiunga na Ukristo.

Baada ya kubomoa sanamu kadhaa za miungu alifia dini yake wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake ni tarehe 7 Septemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.