Sidoni wa Rouen
Mandhari
Sidoni wa Rouen (pia: Sidonius, Sidoine, Saëns, Séadna; Ireland, karne ya 7 – Normandie, 690 hivi) alikuwa mmonaki chini ya Filibati wa Jumieges na ya kanuni ya Mt. Kolumbani akawa abati katika moja ya monasteri alizoanzisha mwenyewe kaskazini mwa Ufaransa [1].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[2] .
Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka tarehe 15 Novemba [3].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Rosa Giorgi, Le Petit Livre des saints, édition Larousse, 2006, p. 670 ISBN 2-03-582665-9
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Culture de la vigne en Normandie par M. l'Abbé Cochet, Aumônier du Collège royal de Rouen.
- Google Livres : Aspects du monachisme en Normandie (IV-XVIII s}}) : actes du Colloque scientifique de l'année des Abbayes normandes, Caen, 18-20 octobre 1979, page 62.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |