Setei

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kanisa kuu la Pescara, lenye jina lake.

Setei (karne ya 6 - 597 hivi) anatajwa kama askofu wa Amiterno (leo San Vittorino, katika mkoa wa Abruzzo, Italia) au wa Aternum (leo Pescara)[1] ambaye Walombardi walipovamia maeneo yale aliuawa kwa kutoswa mtoni amefungiwa jiwe kubwa shingoni kwa kusingiziwa kwamba alisaliti mji wake [2].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Juni.[3]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. [1]
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/90550
  3. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Nicholas Everett, Patron Saints of Early Medieval Italy AD c.350-800 (PIMS/ Durham University Press, 2016), pp. 104–123.
  • Nicholas Everett, 'The Passion of Cetheus of Pescara and the Lombard Invasion of Italy. With a diplomatic edition of Passio Cethei based on Venice, Biblioteca Marciana lat. Z 356”, Hagiographica 22 (2015), 79-132.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.