Sekundi, Karpofori na wenzao

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sekundi, Karpofori na wenzao Viktorini na Severiani (walifariki mwishoni mwa karne ya 3 au mwanzoni mwa karne ya 4) ni kati ya mashahidi wa imani ya Kikristo waliouawa huko Albano, karibu na Roma (Italia) wakati wa dhuluma ya Dola la Roma[1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kati ya watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 8 Agosti[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.