Sara wa jangwani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sara wa jangwani (aliishi katika karne ya 5) alikuwa bikira wa Misri aliyeshika maisha ya mkaapweke huko Skete kwa miaka 60 hivi[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Julai[2].

Misemo yake[hariri | hariri chanzo]

Misemo yake katika tafsiri ya Kiswahili inapatikana ndani ya kitabu:

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.