Salvio wa Albi
Mandhari

Salvio wa Albi (alifariki Albi, Akwitania, leo nchini Ufaransa, 10 Septemba 584) alikuwa kwanza mwanasheria, halafu mmonaki aliyelazimishwa kuwa askofu wa mji huo[1].
Baada ya kupewa daraja takatifu hiyo mwaka 574 hakuacha kundi lake hata baada ya njaa na tauni kulipata. Ugonjwa huo ndio uliomuua[2].
Ndugu yake wa mbali, Gregori wa Tours, aliandika habari za maisha yake[3] .
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Clément Compayré, Études historiques et documents inédits sur l'Albigeois, le Castrais, et l'ancien diocèse de Lavaur (Albi, 1841)
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/69730
- ↑ Gregory of Tours, Historia Francorum, Book V, 44 and 50; Book VI, 29; Book VII, 1; and Book VIII, 22
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Histoire des Francs: Livre VII by Gregory of Tours (Kifaransa)
- Book Seven of History of the Franks by Gregory of Tours (Kiingereza)
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |