Rufino wa Asizi
Mandhari

Rufino wa Asizi (alifariki Costano, karibu na Bastia Umbra, 238 au 239 BK) anakumbukwa kama askofu wa kwanza wa Assisi (Umbria, Italia ya Kati)[1].
Inasemekana alitokea Amasya, leo nchini Uturuki.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Bibliotheca hagiographica latina, II, 1068; Elisei
- Studio sulla chiesa cattedrale di S. Rufino (Assisi, 1893)
- D. de Vincentiis, Notizie di S. Rufino (Avezzano, 1885)
- Ekkart Sauser, Biographisch-Bibliographisches Kirchenlexikon, vol. XXI (2003) pp 1284f
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |