Rufina na Sekunda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kifodini cha Mt. Sekunda na Rufina. Mchoro wa pamoja (1620-1625).

Rufina na Sekunda (walifariki karibu na Roma, Italia, 257) walikuwa Wakristo waliouawa kutokana na imani yao wakati wa dhuluma ya kaisari Valeriani[1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao ni tarehe 10 Julai[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.