Rikardo Pampuri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Rikardo Pampuri.

Rikardo Pampuri, O.H. (Trivolzio, 2 Agosti 1897 - Milano, 1 Mei 1930) alikuwa daktari na bradha wa shirika la kihospitali la Mt. Yohane wa Mungu nchini Italia.

Kabla ya hapo alijiunga na Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko.

Yohane Paulo II alimtangaza kwanza mwenye heri tarehe 4 Oktoba 1981, halafu mtakatifu tarehe 1 Novemba 1989.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.