Proto wa Aquileia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kifodini cha Kansyo, Kansiano na Kansyanila.

Proto wa Aquileia (alifariki Aquileia, leo nchini Italia, 304) alikuwa Mkristo ambaye aliuawa kutokana na imani yake wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano wa Dola la Roma[1].

Anatajwa kama mlezi wa ndugu Kansyo, Kansyano na Kansyanila[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake ni tarehe 14 Juni[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.