Aquileia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Eneo la kiakiolojia la Aquileia.
Undani wa kanisa kuu.

Aquileia ni mji mdogo wa mkoa wa Friuli-Venezia Giulia, Italia Kaskazini Mashariki.

Siku hizi una wakazi 3,500 tu, lakini uliwahi kuwa mmojawapo kati ya miji mikubwa zaidi duniani. Katika karne ya 2 ulikuwa na wakazi 100,000. Ndiyo sababu ni mahali muhimu kwa akiolojia. Pia una umuhimu wa pekee katika historia ya Kanisa.

Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Aquileia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.