Plato wa Konstantinopoli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Plato wa Konstantinopoli (au wa Sakkoudion; labda Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 735 hivi - Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 4 Aprili 814) alikuwa abati mwanzilishi wa monasteri ya Mlima Olimpo huko Bitinia baada ya kuacha kazi yake katika ikulu na kukataa uaskofu.

Alitetea sana heshima kwa picha takatifu pamoja na mtoto wa ndugu yake, Theodoro wa Studion, wakati wa dhuluma ya serikali ya Dola la Roma Mashariki na katika mtaguso wa pili wa Nisea. Pamoja naye tena alirekebisha monasteri maarufu ya Studion.[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 4 Aprili[2][3][4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/48475
  2. Martyrologium Romanum
  3. Great Synaxaristes: (Kigiriki) Ὁ Ὅσιος Πλάτων. 4 Απριλίου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.
  4. (Kigiriki) Συναξαριστής. 4 Απριλίου. ECCLESIA.GR. (H ΕΚΚΛΗΣΙΑ ΤΗΣ ΕΛΛΑΔΟΣ).

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Lilie, Ralph Johannes (1996). Byzanz unter Eirene und Konstantin VI. (780–802) (in German). Frankfurt am Main: Peter Lang. ISBN 3-631-30582-6. 
  • Talbot, Alice-Mary & Kazhdan, Alexander, Plato of Sakkoudion, page=1684
  • [1]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.