Nenda kwa yaliyomo

Pimeni wa Roma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro wa ukutani ukionyesha Wat. Milis na Pimeni.

Pimeni wa Roma (pia: Pimenius, Pigmenius, Pigmentius, Pumenius; alifariki Roma, 362) alikuwa padri wa Roma ya Kale aliyemlea Juliani Mwasi akauawa naye kwa ajili ya imani ya Ukristo ambayo kaisari huyo alitaka kuifuta ili kurudisha Upagani [1][2] Pimenius ended up coming into conflict with Julian because the former was a Christian.[3][4] [5].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini[3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Desemba[6].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. "Name Pimenius". CatholicSaints.Info (kwa American English). Iliwekwa mnamo 2020-05-13.
  2. Gibbon, Edward. "Chapter 23". The History of the Decline and Fall of the Roman Empire.
  3. 1 2 "St. Pigmenius - Saints & Angels". Catholic Online (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2020-05-13.
  4. "Pigmenius van Rome". heiligen-3s.nl. Iliwekwa mnamo 2020-05-13.
  5. http://www.santiebeati.it/dettaglio/80090
  6. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.