Nenda kwa yaliyomo

Piato

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Piato wa Tournai.

Piato (alifariki Seclin, leo nchini Ufaransa, 286 hivi) alikuwa padri mmisionari wa kwanza huko Tournai, leo nchini Ubelgiji.

Mzaliwa wa Benevento, Italia, aliuawa kwa imani yake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Oktoba[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.