Nyamwaga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nyamwaga ni kata ya Wilaya ya Tarime katika Mkoa wa Mara, Tanzania yenye postikodi namba 31417 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 13,917 waishio humo. [2]

Katika eneo la kata kuna migodi ya dhahabu ya North Mara Gold Mine inayomilikiwa na kampuni Acacia Mining kutoka Uingereza. Nyamwaga ina vijiji vitano vinavyoiunda: 1. kijiji cha Nyamwaga 2. kijiji cha Komarera 3. kijiji cha Keisangora 4.kijiji cha Kimusi 5.kijiji cha Gwitare.

Diwani wa kata ya nyamwaga 2015/2020 ni Moses Matiko Misiwa kupitia Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) ambaye pia ni mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Tarime inayoundwa na kata 26.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Tarime - Mkoa wa Mara - Tanzania

Binagi * Bomani * Bumera * Genyange * Gorong'a * Itiryo * Kemambo * Kentare * Kibasuka * Kiore * Komaswa * Manga (Tarime) * Matongo * Mbogi * Muriba * Mwema * Nkende * Nyakonga * Nyamaranga * Nyamisangura * Nyamwaga * Nyandoto * Nyansincha * Nyanungu * Nyarero * Nyarokoba * Pemba * Sabasaba * Sirari * Susuni * Turwa


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mara bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Nyamwaga kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Usiingize majina ya viongozi au maafisa wa sasa maana wanabadilika haraka mno.