Nyamwaga
Nyamwaga ni kata ya Wilaya ya Tarime katika Mkoa wa Mara, Tanzania yenye postikodi namba 31417 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 13,917 waishio humo. [2]
Katika eneo la kata kuna migodi ya dhahabu ya North Mara Gold Mine inayomilikiwa na kampuni Acacia Mining kutoka Uingereza. Nyamwaga ina vijiji vitano vinavyoiunda: 1. kijiji cha Nyamwaga 2. kijiji cha Komarera 3. kijiji cha Keisangora 4.kijiji cha Kimusi 5.kijiji cha Gwitare.
Diwani wa kata ya nyamwaga 2015/2020 ni Moses Matiko Misiwa kupitia Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) ambaye pia ni mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Tarime inayoundwa na kata 26.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Kata za Wilaya ya Tarime - Mkoa wa Mara - Tanzania |
![]() | ||
---|---|---|---|---|
Binagi * Bomani * Bumera * Genyange * Gorong'a * Itiryo * Kemambo * Kentare * Kibasuka * Kiore * Komaswa * Manga (Tarime) * Matongo * Mbogi * Muriba * Mwema * Nkende * Nyakonga * Nyamaranga * Nyamisangura * Nyamwaga * Nyandoto * Nyansincha * Nyanungu * Nyarero * Nyarokoba * Pemba * Sabasaba * Sirari * Susuni * Turwa
|