Mgodi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mgodi wa dhahabu kubwa kabisa duniani.
Almasi maarufu kama "Great Star of Africa".

Mgodi ni sehemu au mahali ambapo madini huchimbwa. Mgodi unaweza ukawa wa almasi, dhahabu, mafuta, tanzanaiti, rubi n.k.

Faida[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mgodi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.