Kiore

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiore ni kata ya Wilaya ya Tarime katika Mkoa wa Mara, Tanzania yenye postikodi namba 31425 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 8,020 waishio humo. Kata ya Kiore iligawanywa toka kata ya zamani ya Nyandoto. jina linatokana na mlima Kiore uliopo kati ya vijiji vya Nyagisya na Kewamamba. Mkaazi mkongwe wa Kitongoji cha Kiore-Nyagisya, Mzee Anthony Roche(91)anasema Wakaazi wa Kiore ni wakuria jamii ya Wasweta waliosambaratishwa kutoka ngome yao iliyojulikana kama Kwigori na mabomu ya wajerumani wakati wa utawala wao Tanganyika.Baada ya shambulioo la mabomu walisambaa kuzingira mlima Kiore.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Flag of Tanzania.svg Kata za Wilaya ya Tarime - Mkoa wa Mara - Tanzania
Flag of Tanzania.svg

Binagi * Bomani * Bumera * Genyange * Gorong'a * Itiryo * Kemambo * Kentare * Kibasuka * Kiore * Komaswa * Manga (Tarime) * Matongo * Mbogi * Muriba * Mwema * Nkende * Nyakonga * Nyamaranga * Nyamisangura * Nyamwaga * Nyandoto * Nyansincha * Nyanungu * Nyarero * Nyarokoba * Pemba * Sabasaba * Sirari * Susuni * Turwa


Flag-map of Tanzania.svg Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mara bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kiore kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Usiingize majina ya viongozi au maafisa wa sasa maana wanabadilika haraka mno.