Nikola wa Tolentino

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nikola wa Tolentino

Nikola wa Tolentino, O.S.A., (kwa Kiitalia San Nicola da Tolentino) (Sant'Angelo, 1246 hivi - 10 Septemba 1305), alikuwa padri maarufu kwa maisha ya kiroho.

Alitangazwa na Papa Eugeni IV kuwa mtakatifu tarehe 5 Juni 1446.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.