Nikola wa Tolentino
Mandhari

Nikola wa Tolentino, O.S.A. (kwa Kiitalia Nicola da Tolentino; Sant'Angelo, 1246 hivi - 10 Septemba 1305) alikuwa padri maarufu kwa maisha ya kiroho.
Mkali kwake mwenyewe katika kujinyima na kusali kwa bidii, alikuwa na huruma kwa watu wengine, akifanya mara nyingi malipizi kwa niaba yao[1].
Alitangazwa na Papa Eugeni IV kuwa mtakatifu tarehe 5 Juni 1446.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 314
- Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 269-270
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Catholic Online Saints: Nicholas of Tolentino
- Lives of the Saints, September 10: Saint Nicholas of Tolentino Ilihifadhiwa 20 Septemba 2010 kwenye Wayback Machine.
- St. Nicholas of Tolentine - Midwest Augustinians
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |