Mto Ruizi (Mbarara)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Ruizi (Mbarara) (pia: Rwizi) unapatikana katika wilaya ya Mbarara, magharibi mwa Uganda.

Maji yake yanaishia katika ziwa Mburo, ziwa Kachera, ziwa Kijanebalola, ziwa Viktoria, mto Naili na hatimaye katika Bahari ya Kati.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]