Ushindi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Mshindi)
Johann Carl Loth: Mfano wa Ushindi.
Ufufuko kadiri ya Piero della Francesca, 1460

Ushindi (kutoka kitenzi kushinda, yaani kubaki; kwa Kiingereza: victory) ni neno linalomaanisha kufanikiwa au kufaulu katika matukio kama vile majaribu, mitihani, kesi, mapigano au mechi.

Katika Ukristo[hariri | hariri chanzo]

Katika Ukristo ushindi mkuu ni ule alioupata Yesu kwa ajili ya watu wote dhidi ya mauti kwa kufufuka kwake.[1]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mauti imemezwa kwa kushinda. Ku wapi, ewe mauti, kushinda kwako? U wapi, ewe mauti, uchungu wako? Uchungu wa mauti ni dhambi, na nguvu za dhambi ni torati. Lakini Mungu ashukuriwe atupaye kushinda kwa Bwana wetu Yesu Kristo ! (1 Kor 15:54b-56)"