Msenge
Msenge (kwa Kiingereza: Transgender) ni aina ya watu ambao hujisikia, hujifikiria na kujiona au kujiigiza tofauti na jinsia zao za kuzaliwa nazo. Kundi hili dogo hujumlisha watu wanaokusudia kujamiana sawa na wengine, yaani mume na mke, lakini wao ni mwanamume kwa mwanamume na kujisikia sawa na wenzao ilhali si sawa na wenzao.
Wasenge wengi hupenda kujiita mashoga na kujiona kwamba jinsia waliyozaliwa nayo si sahihi, hivyo wanadai kutambulika katika jamii kwa jinsi wanavyojisikia, kwa mfano waweze kutumia vyoo vya jinsia wanayoipenda, kushiriki michezo ya jinsia wanayotaka na kufungwa gerezani pamoja na watu wa jinsia wanayojisikia ingawa sivyo walivyo[1].
Pia kuna wale wanaoitwa kwa Kiingereza Transsexual: hawa ni miongoni mwa watu waliozaliwa na jinsia ya kiume wakataka wafanyiwe upasuaji ili wawe kama wanawake au kinyume chake. Mara nyingi wanaume ndio hutaka kuwa na viungo kama vya kike. Hata hivyo hadi sasa jinsia haiwezi kubadilishwa. Upasuaji katika viungo vya uzazi unaishia upande wa nje bila kubadili wala kuathiri DNA ya mhusika [2][3].
Wasenge huwa wanafariki dunia mapema kuliko watu wengine, pengine kwa kujiua[4][5]
Kadiri wasenge wanavyoongezeka, wanazidi kupatikana pia wanaojuta hatua walizochukua kujibadilisha[6][7] na wanaolaumu waliowashauri vibaya [8][9] hata kufungua kesi dhidi yao [10].
Tanbihi
- ↑ https://thefederalist.com/2021/06/24/poll-voters-hate-the-equality-act-when-they-hear-what-it-actually-does/?inf_contact_key=cc4291bcdec480a3b5378486f91fce9b4dfbc39d7283b2cb89d5189540b69330
- ↑ https://townhall.com/columnists/armstrongwilliams/2022/04/21/biological-sex-isnt-up-for-debate-n2606122?inf_contact_key=2f31b53ada49cfa4ed96319e6198f3bb4dfbc39d7283b2cb89d5189540b69330
- ↑ Pope Benedict XVI denounced gender studies, warning that it blurs the distinction between male and female and could thus lead to the "self-destruction" of the human race. He warned against the manipulation that takes place in national and international forums when the term "gender" is altered. "What is often expressed and understood by the term 'gender,' is definitively resolved in the self-emancipation of the human being from creation and the Creator", he warned. "Man wants to create himself, and to decide always and exclusively on his own about what concerns him." The Pontiff said this is humanity living "against truth, against the creating Spirit". Taz. Hati ya Idara ya Malezi ya Kikatoliki kuhusu Jinsia All the same, the Roman Catholic Church has been involved in the outreach to LBGT community for several years and continues doing so in a variety of ways such as through Franciscan urban outreach centers, namely, the "Open Hearts" outreach in Hartford, CT.
- ↑ https://www.hcplive.com/view/mortality-rate-higher-transgender-people
- ↑ https://www.breitbart.com/politics/2021/09/07/study-transgender-twice-likely-die-than-no-gender-dysphoria/?inf_contact_key=84ea09711f8567840660e6883773a33bcc0558ed5d4c28cbfab114022b1ec50d
- ↑ Vandenbussche, Elie (2021-04-30). "Detransition-Related Needs and Support: A Cross-Sectional Online Survey". Journal of Homosexuality: 1–19. doi:10.1080/00918369.2021.1919479. ISSN 1540-3602. PMID 33929297. S2CID 233459164. “The most common reported reason for detransitioning was realized that my gender dysphoria was related to other issues (70%). The second one was health concerns (62%), followed by transition did not help my dysphoria (50%), found alternatives to deal with my dysphoria (45%), unhappy with the social changes (44%), and change in political views (43%). At the very bottom of the list are: lack of support from social surroundings (13%), financial concerns (12%) and discrimination (10%) (see Figure 1).”
- ↑ https://thefederalist.com/2022/04/22/new-york-times-admits-experimenting-on-trans-kids-has-horrifying-irreversible-consequences/?inf_contact_key=a633a20ae73514fffdaed35f1138abec16358d5485884e2f31e6019a0d26c8b0
- ↑ https://www.christian.org.uk/news/detransitioner-the-internet-influences-young-people-to-believe-they-are-trans/?inf_contact_key=2cbe5a484b658310f13b4d12dcac1548d18a532c4142cb79caf2b269de1401fa
- ↑ https://bioedge.org/featured/trans-narrative-under-fire-in-sweden/?inf_contact_key=1dde33ce1018ec1cfb5609705a02583e1b0a3f0fd3ee5d9b43fb34c6613498d7
- ↑ https://www.lifesitenews.com/news/youtube-censors-tucker-carlson-interview-with-woman-who-experienced-fallout-of-trans-dogma/
Viungo vya nje
- Hati ya Idara ya Malezi ya Kikatoliki kuhusu Jinsia
- Keria Bell akieleza alivyojuta kujaribu kuwa mwanamume
- Kesi ya Keria Bell inavyoendelea
- Madaktari wasenge wanatoa angalisho kuhusu dawa za kuzuia watoto wasibalehe
- Mwanasaikolojia msenge anachunguza sababu za mlipuko wa watoto na vijana wanaoomba msaada wa kujibadilisha
- International Foundation for Gender Education
- HBIGDA
- Press For Change
- National Center for Transgender Equality
- Remembering Our Dead Archived 29 Novemba 2014 at the Wayback Machine.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Msenge kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |