Mosyo wa Bizanti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Mosyo katika mozaiki.

Mosyo (kwa Kigiriki: Μώκιος; alifariki Bizanti, leo Istanbul, nchini Uturuki, 288/295) alikuwa padri mwenye asili ya Roma aliyeuawa kwa sababu ya imani yake ya Kikristo katika dhuluma ya kaisari Dioklesyano [1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Mei[3][4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Hieromartyr Mocius the Presbyter of Amphipolis in Macedonia", Orthodox Church in America
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/93007
  3. Martyrologium Romanum
  4. (Kigiriki) Ὁ Ἅγιος Μώκιος ὁ Ἱερομάρτυρας. 11 Μαΐου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.