Modesta wa Trier
Mandhari
Modesta wa Trier (alifariki Trier, Ujerumani, 659) alikuwa bikira Mbenedikto aliyeongoza wenzake wengi kama abesi wa kwanza wa monasteri ya Öhren katika mji huo [1].
Alikuwa amejitoa kwa Mungu tangu utotoni, akawa rafiki wa kiroho wa Getrude wa Nivelles.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Matthias Werner: Zu den Anfängen des Klosters St. Irminen-Oeren in Trier. In: Rheinische Vierteljahrsblätter. Bd. 42, 1978, S. 1–51.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |