Milburga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Mildburh alivyochorwa na Juan de Roelas (1605).

Milburga (jina asili: Mildburh; alifariki 23 Februari 727[1]) alikuwa binti wa ukoo wa kifalme wa Mercia, leo nchini Uingereza[2].

Alikuwa abesi wa monasteri ya Wabenedikto wa Wenlock, maarufu kwa unyenyekevu na miujiza.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana tarehe ya kifo chake.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.