Marina wa Antiokia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Marina Mfiadini alivyochorwa mwaka 1858.

Marina au Margareta wa Antiokia (289-304) alikuwa bikira wa Antiokia ya Pisidia (leo nchini Uturuki) aliyefia dini ya Ukristo[1][2].

Kwa sababu hiyo tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki[3], Waorthodoksi, Waorthodoksi wa Mashariki[4] na Waanglikana[5] kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Julai[6] au siku nyingine kadiri ya madhehebu.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Mary Clayton; Hugh Magennis (15 September 1994). The Old English Lives of St. Margaret. Cambridge University Press. p. 3. ISBN 978-0-521-43382-2. 
  2. https://www.santiebeati.it/dettaglio/63700
  3. "Margaret of Antioch". The Oxford Dictionary of Saints. David Hugh Farmer. Oxford University Press, 2003. Oxford Reference Online. Oxford University Press. Accessed 16 June 2007
  4. https://st-takla.org/Full-Free-Coptic-Books/Synaxarium-or-Synaxarion/11-Abeeb/23-Abeeb.html
  5. Book of Common Prayer
  6. Martyrologium Romanum (Libreria Editrice Vaticana, 2001 ISBN 88-209-7210-7)

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Acta Sanctorum, July, v. 24–45
  • Bibliotheca hagiographica. La/ma (Brussels, 1899), n. 5303–53r3
  • Frances Arnold-Forster, Studies in Church Dedications (London, 1899), i. 131–133 and iii. 19.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.