Maria Rivier

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Maria Rivier katika dirisha la kioo cha rangi.

Maria Rivier (19 Desemba 17683 Februari 1838) alikuwa bikira wa Ufaransa aliyeanzisha shirika la “Masista wa Maria Kutolewa Hekaluni" kwa ajili ya kuhudumia watoto, hasa yatima, kupata malezi ya kufaa[1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 23 Mei 1982, halafu Papa Fransisko alimtangaza mtakatifu tarehe 15 Mei 2022.

Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka kwenye tarehe ya kifo chake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.