Mapambo ya vito

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mmasai mwanamume wa Kenya aliyejipamba kadiri ya utamaduni wa kabila lake.

Mapambo ya vito ni vitu vya nakshi ambavyo huvaliwa katika mwili au hata katika nguo alizovaa mtu. Jina hilo hutumiwa kwa vitu vyovyote vilivyompamba mtu.

Vinatumiwa hasa na wasichana, wanamitindo waliobobea katika fasheni, lakini wanaume pia huwa na mapambo yao.

Kazi yake[hariri | hariri chanzo]

Mapambo hayo huvaliwa kwa malengo tofauti kama vile:

  • Kuonyesha kwamba mtu anajiweza, ni tajiri, mwenye uwezo wa kujipamba kwa vito
  • Kwa kuonekana mwenye kupendeza, kwa mfano kikuba hushika nywele vizuri
  • Katika jamii fulani, kwa kumlinda mtu kutokana na ulozi au uchawi
  • Kwa kuonyeshana kwamba ni mmoja wa kikundi fulani cha jamii au dini.

Aina zake[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mapambo ya vito kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.