Mansueti wa Milano
Mansueti wa Milano (kwa Kiitalia: Mansueto Savelli; alifariki Milano, Italia, 681) alikuwa Askofu wa 40 wa mji huo kuanzia mwaka 686.
Alipinga kwa nguvu zote na kwa kitabu maalumu fundisho la kwamba Yesu alikuwa na utashi wa Kimungu tu, si ule wa kibinadamu pia. [1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Februari[2].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Cazzani, Eugenio (1996). Vescovi e arcivescovi di Milano (in Italian). Milano: Massimo, 56–57. ISBN 88-7030-891-X.
- Majo, Angelo (1989). "Mansueto, santo" (in Italian). Dizionario della Chiesa Ambrosiana. 3. Milano: NED. p. 1863.
.
- (2010) Celebrazioni dei santi, Messale ambrosiano quotidiano 4 (in Italian). Milano: Centro Ambrosiano, 740–741. ISBN 978-88-8025-763-9.
- Gaetano Moroni, Dizionario di erudizione storico-ecclesiastica da San Pietro sino ai nostri giorni, Venezia, Tip. Emiliana, 1879.
- Alberto Maria Ghisalberti, Massimiliano Pavan, Dizionario Biografico degli Italiani, Istituto della Enciclopedia italiana, Milano, 1960.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |